My Blog List

Tuesday, September 4, 2012

MTWARA PRESS CLUB YAPATA VIONGOZI WAPYA

Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari Mtwara wakifuatilia uchaguzi mkuu wa viongozi katika ukumbi wa klabu hiyo mjini Mtwara

Bw. Masau Bwire akiongea mbele ya wanachama wa klabu ya waandishi wa habari Mtwara na yeye ndiye aliyesimamia uchaguzi mkuu wa viongozi

Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Lindi Bw. Abdulaziz Ahmed akihakiki kula kabla ya kwenda kuhesabiwa

Mwenyekiti mpya wa klabu ya waandishi wa habari ya Mtwara Bw. Hassan Simba akitoa maneno ya nasaha punde tu baada ya kuchaguliwa. 



Nyuma kulia ni katibu Bw.Abdallah Nassoro na kushoto makamu mwenyekiti Bw. Fakihi Mussa ambapo aliyechaguliwa kuwa katibu msaidizi ni Bw. Godwin Msalichuma na mweka hazina Bi. Sijawa Omari, nafasi ya msaidizi wake alichaguliwa Bw.Hamis Namangaya.

Aidha kamati tendaji ilichaguliwa yenye wajumbe wanne ambao ni Bw. Bryson Mshana, Bi. Judith Ngonyani hawa wote kutoka kituo cha redio cha Safari Fm, hata hivyo wengine ni Bw. Issa Likwinya na Mary Sanyiwa.

No comments:

Post a Comment

Any