My Blog List

Friday, October 8, 2010

SIKU ZE ORIGINO COMEDI WALIPOUWASHAMOTO KATIKA VIWANJA VYA MASHUJAA KATIKA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA CHAMA CHA MAPINDUZI

Ze komedi wakishambulia jukwaa katika uwanja wa mashujaa kuzindua kampeni za mgombea ubunge Bw.Murji

Bw. Murji akiteta na viongozi wa Chama hicho huku wakifuatilia ze komedi wakifanya vitu vyao.

Bw. Masanja akijidai jukwaani

Kama kawaida tunakandamiza

Chama chetu moto walisikika wakisema ze komedi

Mtondole Murji jamani Mtwara

1 comment:

  1. Mlishambulia jukwaa kama hamna akili nzuri

    ReplyDelete

Any